Mwanzo 6:7

Mwanzo 6:7 NEN

Kwa hiyo BWANA akasema, “Nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemuumba kutoka uso wa dunia, wanadamu na wanyama, pamoja na viumbe vinavyotambaa ardhini, na ndege wa angani. Kwa maana nasikitika kuwaumba.”

Kostenlose Lesepläne und Andachten zum Thema Mwanzo 6:7