Waroma 6:17-18

Waroma 6:17-18 BHN

Ingawa mlikuwa watumwa wa dhambi zamani, sasa lakini – namshukuru Mungu – mmetii kwa moyo wote yale maazimio na mafundisho mliyopokea. Mlikombolewa kutoka utumwa wa dhambi, mkawa watumwa wa uadilifu

خطط قرأة مجانية و مواضيع تعبدية ذات صلة بWaroma 6:17-18