Waroma 6:13

Waroma 6:13 BHN

Wala msitoe hata sehemu moja ya miili yenu iwe chombo cha kutenda uovu na dhambi. Badala yake, jitoleeni nyinyi wenyewe kwa Mungu kama watu waliofufuliwa kutoka kwa wafu; toeni nafsi zenu zote kwa Mungu kwa ajili ya uadilifu.

خطط قرأة مجانية و مواضيع تعبدية ذات صلة بWaroma 6:13