Waroma 4:20-21

Waroma 4:20-21 BHN

Abrahamu hakuionea mashaka ile ahadi ya Mungu; alipata nguvu kutokana na imani, akamtukuza Mungu. Alijua kwamba Mungu anaweza kuyatekeleza yale aliyoahidi.

خطط قرأة مجانية و مواضيع تعبدية ذات صلة بWaroma 4:20-21