Waroma 1:22-23

Waroma 1:22-23 BHN

Wanajidai kuwa wenye hekima, kumbe ni wapumbavu. Wanaacha kumwabudu Mungu aishiye milele, na badala yake, wanaabudu sanamu zilizo mfano wa binadamu ambaye hufa, mfano wa wanyama, ndege, au wanyama watambaao.

خطط قرأة مجانية و مواضيع تعبدية ذات صلة بWaroma 1:22-23