Matendo 1:4-5

Matendo 1:4-5 BHN

Wakati alipokutana pamoja nao aliwaamuru hivi: “Msiondoke Yerusalemu, bali ngojeni ile zawadi aliyoahidi Baba, ambayo mlikwisha nisikia nikiongea juu yake. Kwani Yohane alibatiza kwa maji, lakini baada ya siku chache, nyinyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.”

خطط قرأة مجانية و مواضيع تعبدية ذات صلة بMatendo 1:4-5