Yohane 13:4-5

Yohane 13:4-5 BHND

Basi, aliondoka mezani, akaweka kando vazi lake, akachukua kitambaa na kujifunga kiunoni. Kisha akatia maji katika bakuli, akaanza kuwaosha wanafunzi wake miguu na kuipangusa kwa kile kitambaa alichojifungia.

خطط قرأة مجانية و مواضيع تعبدية ذات صلة بYohane 13:4-5