1
Yohane 11:25-26
Biblia Habari Njema
BHND
Yesu akamwambia, “Mimi ndimi ufufuo na uhai. Anayeniamini mimi hata kama anakufa, ataishi; na kila anayeishi na kuniamini, hatakufa kamwe. Je, waamini hayo?”
對照
Yohane 11:25-26 探索
2
Yohane 11:40
Yesu akamwambia, “Je, sikukuambia kwamba ukiamini utaona utukufu wa Mungu?”
Yohane 11:40 探索
3
Yohane 11:35
Yesu akalia machozi.
Yohane 11:35 探索
4
Yohane 11:4
Yesu aliposikia hivyo, akasema, “Ugonjwa huo hautaleta kifo, ila ni kwa ajili ya kumtukuza Mungu; ameugua ili kwa njia hiyo Mwana wa Mungu atukuzwe.”
Yohane 11:4 探索
5
Yohane 11:43-44
Alipokwisha sema hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro! Toka nje!” Huyo aliyekuwa amekufa akatoka nje, huku amefungwa sanda miguu na mikono, na uso wake umefunikwa. Yesu akawaambia, “Mfungueni, mkamwache aende zake.”
Yohane 11:43-44 探索
6
Yohane 11:38
Basi, Yesu akiwa amehuzunika tena moyoni, akafika kaburini. Kaburi lenyewe lilikuwa pango, na lilikuwa limefunikwa kwa jiwe.
Yohane 11:38 探索
7
Yohane 11:11
Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, akawaambia, “Rafiki yetu Lazaro amelala, lakini mimi nitakwenda kumwamsha.”
Yohane 11:11 探索
主頁
聖經
計劃
影片