1
Luka 10:19
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
Tazameni, nimewapa nguvu za kukanyaga nyoka na nge, mshinde uwezo wote wa yule mchukivu, tena hakuna kitu kitakachowapotoa.
对照
探索 Luka 10:19
2
Luka 10:41-42
Lakini Bwana akajibu akimwambia: Marta, Marta, unahangaika kwa kusumbukia mambo mengi. Lakini vinavyopasa ni vichache au kimoja tu. Maria amelichagua fungu lililo jema, naye hatapokwa.*
探索 Luka 10:41-42
3
Luka 10:27
Akajibu akisema: Umpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote na kwa nguvu yako yote na kwa mawazo yako yote! Naye mwenzio umpende, kama unavyojipenda mwenyewe!
探索 Luka 10:27
4
Luka 10:2
Naye akawaambia: Mavuno ni mengi, lakini watenda kazi ni wachache. Mwombeni mwenye mavuno, apeleke watenda kazi katika mavuno yake!
探索 Luka 10:2
5
Luka 10:36-37
Waonaje? Katika hao watatu aliyejifanya kuwa mwenzake yule aliyeguiwa na wanyang'anyi ni yupi? Naye akasema: Ndiye aliyemwonea huruma. Ndipo, Yesu alipomwambia: Nenda nawe, ufanye vivyo hivyo!*
探索 Luka 10:36-37
6
Luka 10:3
Nendeni! Tazameni, nawatuma ninyi, mwe kama wana kondoo walio katikati ya mbwa wa mwitu!
探索 Luka 10:3
主页
圣经
计划
视频