Lakini mjibidiishe sana kuzifanya amri na sheria, ambazo Musa, mtumishi wa BWANA, aliwaamuru, kumpenda BWANA, Mungu wenu, na kuenenda katika njia zake zote, na kuzishika amri zake, na kushikamana naye, na kumtumikia kwa moyo wenu wote na nafsi yenu yote.