1
Zekaria 13:9
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Theluthi hiyo moja itakayosalia, nitaijaribu na kuitakasa, kama mtu asafishavyo fedha, naam, kama ijaribiwavyo dhahabu. Hapo wao wataniomba mimi, nami nitawajibu. Nitasema, ‘Hawa ni watu wangu’, nao watasema, ‘Mwenyezi-Mungu, ndiye Mungu wetu.’”
对照
探索 Zekaria 13:9
主页
圣经
计划
视频