YouVersion 标志
圣经计划视频
获取软件
选择语言
搜索图标

Marko 7 的热门经文

1

Marko 7:21-23

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Maana kutoka ndani, moyoni mwa mtu, hutoka mawazo mabaya, uasherati, wizi, uuaji, uzinzi, uchoyo, uovu, udanganyifu, ufisadi, wivu, kashfa, kiburi na upumbavu. Maovu hayo yote yatoka ndani ya mtu, nayo humtia mtu unajisi.”

对照

探索 Marko 7:21-23

2

Marko 7:15

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Hakuna kitu kinachoingia ndani ya mtu kutoka nje kinachoweza kumtia mtu unajisi. Lakini kinachotoka ndani ya mtu ndicho kinachomtia mtu unajisi.”

对照

探索 Marko 7:15

3

Marko 7:6

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Yesu akawajibu, “Wanafiki nyinyi! Nabii Isaya alitabiri sawa kabisa juu yenu alipoandika: ‘Mungu asema: Watu hawa, huniheshimu kwa maneno tu, lakini mioyoni mwao, wako mbali nami.

对照

探索 Marko 7:6

4

Marko 7:7

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.’

对照

探索 Marko 7:7

5

Marko 7:8

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Nyinyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia maagizo ya watu.”

对照

探索 Marko 7:8

上一章
下一章
YouVersion

我们要鼓励、挑战你每天亲近上帝。

事工

关于我们

就职机会

义工

博客

新闻区

有用链接

帮助

捐赠

圣经译本

音频圣经

译本语言

今日经文


此数字事工属于

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

隐私政策使用条款
漏洞披露方案
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

主页

圣经

计划

视频