1
Marko 4:39-40
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Basi, akaamka, akaukemea ule upepo na kuyaamrisha mawimbi ya ziwa, “Kimya! Tulia!” Hapo upepo ukakoma, kukawa shwari kabisa. Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Mbona mnaogopa? Je, bado hamna imani?”
对照
探索 Marko 4:39-40
2
Marko 4:41
Nao wakaogopa sana, wakawa wanaulizana, “Huyu ni nani basi, hata upepo na mawimbi vinamtii?”
探索 Marko 4:41
3
Marko 4:38
Yesu alikuwa sehemu ya nyuma ya mashua, amelala juu ya mto. Basi, wanafunzi wakamwamsha na kumwambia, “Mwalimu, je, hujali kwamba sisi tunaangamia?”
探索 Marko 4:38
4
Marko 4:24
Akawaambia pia, “Sikilizeni kwa makini mnachosikia! Kipimo kilekile mnachowapimia watu wengine, ndicho mtakachopimiwa; tena mtazidishiwa.
探索 Marko 4:24
5
Marko 4:26-27
Yesu akaendelea kusema, “Ufalme wa Mungu ni kama ifuatavyo. Mtu hupanda mbegu shambani. Usiku hulala, mchana yu macho na wakati huo mbegu zinaota na kukua; yeye hajui inavyofanyika.
探索 Marko 4:26-27
6
Marko 4:23
Mwenye masikio na asikie!”
探索 Marko 4:23
主页
圣经
计划
视频