YouVersion 标志
圣经计划视频
获取软件
选择语言
搜索图标

Marko 15 的热门经文

1

Marko 15:34

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Saa tisa alasiri Yesu akalia kwa sauti kubwa, akasema, “Eloi, Eloi, lema sabakthani?” Maana yake, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”

对照

探索 Marko 15:34

2

Marko 15:39

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Jemadari mmoja aliyekuwa amesimama mbele yake alipoona kwamba Yesu alikata roho namna hiyo, akasema, “Kweli mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu!”

对照

探索 Marko 15:39

3

Marko 15:38

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Basi, pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu mpaka chini.

对照

探索 Marko 15:38

4

Marko 15:37

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Yesu akapaza sauti kubwa, akakata roho.

对照

探索 Marko 15:37

5

Marko 15:33

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Tangu saa sita mchana mpaka saa tisa giza likaikumba nchi yote.

对照

探索 Marko 15:33

6

Marko 15:15

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Pilato alitaka kuuridhisha huo umati wa watu; basi, akamwachilia Baraba kutoka gerezani. Akaamuru Yesu apigwe viboko, kisha akamtoa asulubiwe.

对照

探索 Marko 15:15

上一章
下一章
YouVersion

我们要鼓励、挑战你每天亲近上帝。

事工

关于我们

就职机会

义工

博客

新闻区

有用链接

帮助

捐赠

圣经译本

音频圣经

译本语言

今日经文


此数字事工属于

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

隐私政策使用条款
漏洞披露方案
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

主页

圣经

计划

视频