1
Mathayo 14:30-31
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Lakini alipouona ule upepo, aliogopa, akaanza kuzama; akalia kwa sauti, “Bwana, niokoe!” Hapo, Yesu akaunyosha mkono wake, akamshika na kumwambia, “Ewe mwenye imani haba! Kwa nini uliona shaka?”
对照
探索 Mathayo 14:30-31
2
Mathayo 14:30
Lakini alipouona ule upepo, aliogopa, akaanza kuzama; akalia kwa sauti, “Bwana, niokoe!”
探索 Mathayo 14:30
3
Mathayo 14:27
Mara, Yesu akasema nao, “Tulieni, ni mimi. Msiogope!”
探索 Mathayo 14:27
4
Mathayo 14:28-29
Petro akamwambia, “Bwana, ikiwa ni wewe kweli, amuru nitembee juu ya maji nije kwako.” Yesu akasema, “Haya, njoo.” Basi, Petro akashuka kutoka ile mashua, akatembea juu ya maji, akamwendea Yesu.
探索 Mathayo 14:28-29
5
Mathayo 14:33
Wote waliokuwa ndani ya mashua walimsujudia, wakasema, “Hakika wewe ni Mwana wa Mungu.”
探索 Mathayo 14:33
6
Mathayo 14:16-17
Yesu akawaambia, “Si lazima waende, wapeni nyinyi chakula.” Lakini wao wakamwambia, “Tunayo mikate mitano tu na samaki wawili.”
探索 Mathayo 14:16-17
7
Mathayo 14:18-19
Yesu akawaambia, “Nileteeni hapa.” Akawaamuru watu waketi katika nyasi. Kisha Yesu akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akavibariki. Halafu akaimega hiyo mikate, akawapa wanafunzi wake, nao wakawapa watu.
探索 Mathayo 14:18-19
8
Mathayo 14:20
Watu wote wakala, wakashiba. Kisha wanafunzi wakakusanya mabaki, wakajaza vikapu kumi na viwili.
探索 Mathayo 14:20
主页
圣经
计划
视频