1
Malaki 4:5-6
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
“Tazama, kabla ya kufika siku ile kuu na ya kutisha, nitamtuma nabii Elia. Nabii Elia atawapatanisha wazazi na watoto wao; la sivyo, nitakuja na kuiangamiza nchi yenu.”
对照
探索 Malaki 4:5-6
2
Malaki 4:1
Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema: “Tazama, siku yaja, nayo inawaka kama tanuri. Wenye kiburi na waovu wote watatupwa humo na kuteketea kama mabua makavu; watateketea kabisa pasibaki hata alama.
探索 Malaki 4:1
主页
圣经
计划
视频