1
Luka 1:37
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Kwa maana hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu.”
对照
探索 Luka 1:37
2
Luka 1:38
Maria akasema, “Mimi ni mtumishi wa Bwana, nitendewe kama ulivyosema.” Kisha yule malaika akaenda zake.
探索 Luka 1:38
3
Luka 1:35
Malaika akamjibu, “Roho Mtakatifu atakushukia, na uwezo wake Mungu Mkuu utakujia kama kivuli; kwa sababu hiyo, mtoto atakayezaliwa ataitwa Mtakatifu, Mwana wa Mungu.
探索 Luka 1:35
4
Luka 1:45
Heri yako wewe uliyesadiki kwamba yatatimia yale Bwana aliyokuambia.”
探索 Luka 1:45
5
Luka 1:31-33
Utachukua mimba, utamzaa mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu. Yeye atakuwa mkubwa na ataitwa Mwana wa Mungu Mkuu. Bwana Mungu atampa kiti cha mfalme Daudi, babu yake. Kwa hivyo atautawala ukoo wa Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”
探索 Luka 1:31-33
6
Luka 1:30
Malaika akamwambia, “Usiogope Maria, kwa maana Mungu amekujalia neema.
探索 Luka 1:30
主页
圣经
计划
视频