YouVersion 标志
圣经计划视频
获取软件
选择语言
搜索图标

1 Sam 4 的热门经文

1

1 Sam 4:18

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Huyo mtu alipotaja tu sanduku la Mungu, Eli alianguka chali kutoka kwenye kiti chake kando ya lango. Eli alipoanguka hivyo, shingo yake ilivunjika kwani alikuwa mzee na mnene, naye akafariki. Eli alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa muda wa miaka arubaini.

对照

探索 1 Sam 4:18

2

1 Sam 4:21

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Naye akamwita mtoto wake Ikabodi, akimaanisha, “Utukufu wa Mungu umeondoka Israeli,” akiwa na maana kwamba sanduku la agano lilikuwa limetekwa, tena baba mkwe wake na mumewe, wote walifariki.

对照

探索 1 Sam 4:21

3

1 Sam 4:22

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Akasema, “Utukufu wa Mungu umeondoka Israeli kwani sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu limetekwa.”

对照

探索 1 Sam 4:22

上一章
下一章
YouVersion

我们要鼓励、挑战你每天亲近上帝。

事工

关于我们

就职机会

义工

博客

新闻区

有用链接

帮助

捐赠

圣经译本

音频圣经

译本语言

今日经文


此数字事工属于

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

隐私政策使用条款
漏洞披露方案
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

主页

圣经

计划

视频