1
1 Sam 30:6
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Sasa, Daudi alikuwa katika matatizo makubwa kwa kuwa watu wake walikuwa na uchungu rohoni mwao kwa kupoteza watoto wao; hivyo wakawa wanamtishia kumpiga mawe. Lakini Daudi alijipa moyo kwa kumtegemea Mwenyezi-Mungu, Mungu wake.
对照
探索 1 Sam 30:6
主页
圣经
计划
视频