YouVersion 标志
圣经计划视频
获取软件
选择语言
搜索图标

1 Sam 2 的热门经文

1

1 Sam 2:2

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

“Hakuna aliye mtakatifu kama Mwenyezi-Mungu; hakuna yeyote aliye kama yeye; hakuna aliye mwamba kama Mungu wetu.

对照

探索 1 Sam 2:2

2

1 Sam 2:8

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Huwainua maskini toka mavumbini; huwanyanyua wahitaji toka majivuni, akawaketisha pamoja na wakuu, na kuwarithisha viti vya heshima. Maana, minara ya dunia ni ya Mwenyezi-Mungu; yeye ameisimika dunia juu ya minara yake.

对照

探索 1 Sam 2:8

3

1 Sam 2:9

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

“Maisha ya waaminifu wake huyalinda, lakini maisha ya waovu huyakatilia mbali gizani. Maana, binadamu hapati ushindi kwa nguvu zake.

对照

探索 1 Sam 2:9

4

1 Sam 2:7

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Mwenyezi-Mungu huwafanya baadhi wawe maskini, na baadhi wawe matajiri. Wengine huwashusha, na wengine huwakweza.

对照

探索 1 Sam 2:7

5

1 Sam 2:6

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Mwenyezi-Mungu huua na hufufua; yeye huwashusha chini kuzimu naye huwarudisha tena.

对照

探索 1 Sam 2:6

上一章
下一章
YouVersion

我们要鼓励、挑战你每天亲近上帝。

事工

关于我们

就职机会

义工

博客

新闻区

有用链接

帮助

捐赠

圣经译本

音频圣经

译本语言

今日经文


此数字事工属于

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

隐私政策使用条款
漏洞披露方案
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

主页

圣经

计划

视频