YouVersion 标志
圣经计划视频
获取软件
选择语言
搜索图标

1 Sam 16 的热门经文

1

1 Sam 16:7

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Lakini Mwenyezi-Mungu alimwambia, “Usiangalie sura yake na urefu wa kimo chake. Mimi nimemkataa kwani siangalii mambo kama wanavyoyaangalia binadamu wenye kufa. Binadamu huangalia uzuri wa nje, lakini mimi naangalia moyoni.”

对照

探索 1 Sam 16:7

2

1 Sam 16:13

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Samueli akachukua upembe wake wenye mafuta akammiminia Daudi mafuta mbele ya kaka zake. Mara roho ya Mwenyezi-Mungu ikamjia Daudi kwa nguvu, ikakaa tangu siku hiyo na kuendelea. Kisha Samueli akarudi mjini Rama.

对照

探索 1 Sam 16:13

3

1 Sam 16:11

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Halafu akamwambia, “Je, wanao wote wako hapa?” Yese akajibu, “Bado yuko mdogo, lakini amekwenda kuchunga kondoo.” Samueli akamwambia, “Mtume mtu amlete; sisi hatutaketi chini, mpaka atakapokuja hapa.”

对照

探索 1 Sam 16:11

上一章
下一章
YouVersion

我们要鼓励、挑战你每天亲近上帝。

事工

关于我们

就职机会

义工

博客

新闻区

有用链接

帮助

捐赠

圣经译本

音频圣经

译本语言

今日经文


此数字事工属于

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

隐私政策使用条款
漏洞披露方案
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

主页

圣经

计划

视频