Tẹ̀lé Soma Biblia, nínú Ohun Èlò Bíbélì.

Fi fóònù tàbí tabulẹti rẹ ṣe àtẹ̀jíṣẹ́ àmì QR yìí kó o lè gba Bible App.

Soma Biblia
NípaSoma Biblia
Dhamira: NENO LA INJILI KWA RIKA ZOTE. Lengo letu kuu ni kusambaza Injili ya Yesu Kristo kwa Kiswahili, kwa kuandaa Kanisa kupitia kuendeleza, kuzalisha na kusambaza Biblia kwa njia ya sauti, machapisho ya kuaminika juu ya Injili na vifaa vingine, vyote kwa Kiswahili. Shabaha nyingine ni kuwasaidia Wakristo kufikisha Injili kwa watu na kuwafundisha kupitia neno la Mungu – juu ya imani na maisha.