1
Matendo 3:19
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Basi, tubuni, mkamrudie Mungu ili yeye afute dhambi zenu.
Ṣe Àfiwé
Ṣàwárí Matendo 3:19
2
Matendo 3:6
Kisha Petro akamwambia, “Sina fedha wala dhahabu, lakini kile nilicho nacho nitakupa. Kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, tembea!”
Ṣàwárí Matendo 3:6
3
Matendo 3:7-8
Halafu, akamshika mkono wa kulia, akamwinua. Papo hapo miguu na magoti yake yakapata nguvu. Akaruka, akasimama na kuanza kutembea. Halafu akaingia pamoja nao hekaluni, akitembea na kurukaruka huku akimtukuza Mungu.
Ṣàwárí Matendo 3:7-8
4
Matendo 3:16
Jina la Yesu na imani katika jina hilo ndivyo vilivyompa nguvu mtu huyu mnayemwona na kumfahamu. Imani kwa Yesu ndiyo iliyomponya kabisa mtu huyu kama mnavyoona nyote.
Ṣàwárí Matendo 3:16