Àmì-ìdánimọ̀ YouVersion
BíbélìÀwon ètòÀwon Fídíò
Gba ohun èlò náà
Àṣàyàn Èdè
Ṣe Àwárí

Àwọn Ẹsẹ Bíbélì Tí Ọ̀pọ̀ Èèyàn Mọ Mwanzo 28

1

Mwanzo 28:15

Neno

NEN

Niko pamoja nawe, nami nitakulinda popote utakapoenda, na nitakurudisha katika nchi hii. Sitakuacha hadi nitakapofanya hayo niliyokuahidi.”

Ṣe Àfiwé

Ṣàwárí Mwanzo 28:15

2

Mwanzo 28:13

Neno

NEN

Juu yake alisimama BWANA, akasema, “Mimi ni BWANA, Mungu wa baba yako Abrahamu, na Mungu wa Isaka. Nchi ambayo umelala juu yake, nitakupa wewe na uzao wako.

Ṣe Àfiwé

Ṣàwárí Mwanzo 28:13

3

Mwanzo 28:16

Neno

NEN

Yakobo alipoamka kutoka usingizi, akawaza, “Hakika BWANA yuko mahali hapa, wala mimi sikujua.”

Ṣe Àfiwé

Ṣàwárí Mwanzo 28:16

4

Mwanzo 28:20-22

Neno

NEN

Kisha Yakobo akaweka nadhiri, akisema, “Mungu akiwa pamoja nami na kunilinda katika safari hii, akinipa chakula nile na nguo nivae, na nirudi salama nyumbani mwa baba yangu, hapo ndipo BWANA atakuwa Mungu wangu. Nalo jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu, na katika yote utakayonipa nitakutolea sehemu ya kumi.”

Ṣe Àfiwé

Ṣàwárí Mwanzo 28:20-22

5

Mwanzo 28:14

Neno

NEN

Uzao wako utakuwa kama mavumbi ya nchi, nawe utaenea upande wa magharibi na mashariki, kaskazini na kusini. Kupitia wewe na uzao wako, mataifa yote ya duniani yatabarikiwa.

Ṣe Àfiwé

Ṣàwárí Mwanzo 28:14

6

Mwanzo 28:19

Neno

NEN

Mahali pale akapaita Betheli, ingawa mji ule hapo awali uliitwa Luzu.

Ṣe Àfiwé

Ṣàwárí Mwanzo 28:19

Abala Tó Kọjá
Abala tí ó Kàn
YouVersion

Ńgbà ọ́ níyànjú ó ṣì ń pè ọ́ níjà láti súnmọ́ Ọlọ́run lójoojúmọ́.

Iṣẹ́ Ìránṣẹ́

Nípaa

Àwọn iṣẹ́

Oluyọọda

Blọ́ọ̀gì

Tè

Àwọn ojú-ìwé tí ó wúlò

Ìrànlọ́wọ́

Fifún ni

Àwon Èyà Bíbélì

Àwọn Bíbélì àfetígbọ́

Àwọn Èdè Bíbélì

Ẹsẹ̀ Bíbélì t'Òní


Isẹ́ Ìránṣẹ́ orí ẹ̀rọ ìgbàlódé

Life.Church
Yorùbá

©2026 Life.Church / YouVersion

Ìṣe ìdá kọ́ńkó̩Àwon àdéhùn
Ètò Ìpolongo Àwọn Àìléwu
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest