Waroma 3:10-12
Waroma 3:10-12 SWC02
Ni sawa ilivyoandikwa katika Maandiko Matakatifu: “Hakuna hata mutu mumoja mwenye haki! Hakuna mutu mwenye ufahamu, hakuna mwenye kushugulika na Mungu. Wote wamepotea, wote kwa jumla wamepotoka. Hakuna mwenye kufanya mema, hata mumoja.

