Waroma 14:11-12

Waroma 14:11-12 SWC02

Kwa maana imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: “Bwana anasema: Kama vile ninavyoishi, kila mutu atapiga magoti mbele yangu, na kila mutu ataitikia kwamba mimi ni Mungu.” Kwa hiyo kila mumoja kati yetu atajitetea mwenyewe kwa Mungu.

Verse Image for Waroma 14:11-12

Waroma 14:11-12 - Kwa maana imeandikwa katika Maandiko Matakatifu:
“Bwana anasema:
Kama vile ninavyoishi, kila mutu atapiga magoti mbele yangu, na kila mutu ataitikia kwamba mimi ni Mungu.”
Kwa hiyo kila mumoja kati yetu atajitetea mwenyewe kwa Mungu.