Waroma 12:4-5
Waroma 12:4-5 SWC02
Katika mwili mumoja kuna viungo vingi, lakini viungo hivi vyote havina kazi moja. Hivi vilevile, sisi tunaokuwa wengi tumekuwa mwili mumoja katika kuungana kwetu na Kristo, na sisi wote ni viungo kila mumoja kwa mwingine.

