2 Watesalonika 2:16-17

2 Watesalonika 2:16-17 SWC02

Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu, aliyetupenda na kwa neema yake akatufariji kwa milele na kutupatia tumaini njema, awafariji na kuwaimarisha katika matendo na maneno yote mema.