1 Watesalonika 4:3-4

1 Watesalonika 4:3-4 SWC02

Kitu Mungu anachotaka ni kwamba mukuwe watakatifu na muepuke mambo ya uasherati. Kila mwanaume anapaswa kujua namna ya kuishi na muke wake katika hali ya utakatifu na ya heshima