1
1 Wakorinto 1:27
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Lakini Mungu anachagua vitu ambavyo watu wanahesabu kuwa vya upumbafu kusudi apatishe wenye hekima haya, naye amechagua vitu wanavyohesabu kuwa vya uzaifu kusudi apatishe wenye nguvu haya.
موازنہ
تلاش 1 Wakorinto 1:27
2
1 Wakorinto 1:18
Hivi, mahubiri ya kufa kwa Kristo juu ya musalaba yanahesabiwa kuwa upumbafu kwa wale wanaopotea. Lakini kwa sisi tunaookolewa ni uwezo wa Mungu.
تلاش 1 Wakorinto 1:18
3
1 Wakorinto 1:25
Kwa maana mambo wanayomuhesabilia Mungu kuwa ya upumbafu, yanapita hekima ya watu; nayo mambo yale wanayomuhesabilia kuwa ya uzaifu yanapita nguvu za watu.
تلاش 1 Wakorinto 1:25
4
1 Wakorinto 1:9
Mungu ni mwaminifu katika ahadi zake, yeye aliyewaita ninyi muishi katika ushirika pamoja na Mwana wake Yesu Kristo, Bwana wetu.
تلاش 1 Wakorinto 1:9
5
1 Wakorinto 1:10
Wandugu zangu, ninawasihi ninyi kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo, mukuwe na masikilizano kusudi matengano yasikuwe katikati yenu. Muishi katika umoja kabisa mukiwa na nia moja na wazo moja.
تلاش 1 Wakorinto 1:10
6
1 Wakorinto 1:20
Basi, tuseme nini juu ya wenye hekima, walimu wa Sheria, nao wafundi wa usemi siku hizi? Mungu ameonyesha wazi kwamba hekima ya dunia hii ni upumbafu!
تلاش 1 Wakorinto 1:20
صفحہ اول
بائبل
مطالعاتی منصوبہ
Videos