YouVersion Logo
بائبلمطالعاتی منصوبہVideos
اپلی کیشن حاصل کریں
زبان کا انتخاب کنندہ
تلاش

Mwanzo 18 سے مشہور بائبلی آیات

1

Mwanzo 18:14

Neno

NEN

Je, kuna jambo lolote gumu lisilowezekana kwa BWANA? Nitakurudia majira kama haya mwaka ujao, naye Sara atakuwa na mwana.”

موازنہ

تلاش Mwanzo 18:14

2

Mwanzo 18:12

Neno

NEN

Hivyo Sara akacheka kimoyomoyo alipokuwa akiwaza, “Baada ya mimi kuwa mkongwe hivi na bwana wangu amezeeka, je, nitaweza kufurahia jambo hili?”

موازنہ

تلاش Mwanzo 18:12

3

Mwanzo 18:18

Neno

NEN

Hakika Abrahamu atakuwa taifa kubwa na lenye nguvu, na kupitia kwake mataifa yote ya dunia yatabarikiwa.

موازنہ

تلاش Mwanzo 18:18

4

Mwanzo 18:23-24

Neno

NEN

Abrahamu akamsogelea, akasema: “Je, utawaangamiza wenye haki na waovu? Je, ikiwa watakuwepo watu hamsini wenye haki katika mji huo, kweli utauangamiza na wala hutauacha kwa ajili ya hao watu hamsini wenye haki waliomo?

موازنہ

تلاش Mwanzo 18:23-24

5

Mwanzo 18:26

Neno

NEN

BWANA akajibu, “Nikipata watu hamsini wenye haki katika mji wa Sodoma, nitauacha huo mji wote kwa ajili yao.”

موازنہ

تلاش Mwanzo 18:26

پچھلا باب
اگلا باب
YouVersion

آپ کو ہر روز خدا کے ساتھ قربت حاصل کرنے کی ترغیب دینا اور چیلنج کرنا۔.

خدمت

بارے میں

آسامیاں

رضاکار

Blog

Press

Useful Links

مدد

ہدیہ دیں

بائبل ورژن

Audio Bibles

بائبل کی زبانیں

آج کی آیت


کی ایک ڈیجیٹل خدمت

Life.Church
اردو

©2026 Life.Church / YouVersion

Privacy Policyشرائط
حساس کا انکشاف کرنے والا عمل
FacebookTwitterInstagramیوٹیوبپنٹیرسٹ