Mwanamume Wa Kifalme

5 Gün
Katika historia yote, Mungu daima amewatafuta na kuwatumia wanaume kuendeleza ajenda ya Ufalme wake. Shetani anajua hili, ndiyo maana anataka kuwafungia na kuwahasi wanaume. Ulimwengu wetu unaendelea ukizorota kwa sababu wanaume hawapatikani popote. Ni wakati wa wanaume kusimama kidete. Katika mpango huu wa kusoma wa siku tano, Daktari Tony Evans atakupeleka kwenye safari ya kufanyika mwanamume ambaye Mungu alikuumba uwe.
Tungependa kuwashukuru The Urban Alternative (Tony Evans) kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://tonyevans.org/
Benzer Planlar

Tanrı'nın İsrail'e Olan Sevgisi

İlahi: Hikayenizdeki Lütuf

Бабил Сюргюню Заманъ

Исраил Кралларън Заманларъ

Sahte Benlik

Amacım Nedir? Tanrı'yı ve Başkalarını Sevmeyi Öğrenmek

Yeruşalimdeki Destansı Tapınağı Keşfedin

Babil Sürgünü Zamanı

Mısır’dan Çıkış: Acı Çekmekten Kurtuluşa
