1
Luka 22:42
Neno: Bibilia Takatifu 2025
NENO
akisema, “Baba, kama ni mapenzi yako, niondolee kikombe hiki. Lakini si kama nipendavyo, bali mapenzi yako yatendeke.”
Karşılaştır
Luka 22:42 keşfedin
2
Luka 22:32
Lakini nimekuombea wewe Simoni ili imani yako isishindwe, nawe baada ya kunirudia, uwaimarishe ndugu zako.”
Luka 22:32 keşfedin
3
Luka 22:19
Kisha akachukua mkate, akashukuru, akaumega, na kuwapa, akisema, “Huu ni mwili wangu unaotolewa kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.”
Luka 22:19 keşfedin
4
Luka 22:20
Vivyo hivyo baada ya kula, akakitwaa kikombe, akisema, “Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu, imwagikayo kwa ajili yenu.
Luka 22:20 keşfedin
5
Luka 22:44
Naye akiwa katika maumivu makuu, akaomba kwa bidii, nalo jasho lake likawa kama matone ya damu yakidondoka ardhini.
Luka 22:44 keşfedin
6
Luka 22:26
Lakini ninyi msifanane nao. Bali yeye aliye mkuu kuliko wote miongoni mwenu, inampasa kuwa kama yeye aliye mdogo wa wote, naye anayetawala na awe kama yeye anayehudumu.
Luka 22:26 keşfedin
7
Luka 22:34
Yesu akamjibu, “Ninakuambia Petro, kabla jogoo hajawika usiku wa leo, utakana mara tatu kwamba unanijua.”
Luka 22:34 keşfedin
Ana Sayfa
Kutsal Kitap
Okuma Planları
Videolar