Matendo ya Mitume 9:17-18

Matendo ya Mitume 9:17-18 SRB37

Kisha Anania akaondoka, akaenda, akaingia nyumbani mle, akambandikia mikono akisema: Ndugu yangu Sauli, Bwana Yesu aliyekuotokea njiani, alipokuja, amenituma, upate kuona tena na kujazwa Roho takatifu. Papo hapo pakawa kama magamba yaliyoanguka toka machoni pake, akaona, tena akainuka, akabatizwa.

Matendo ya Mitume 9:17-18 కోసం వీడియో