1
Matendo ya Mitume 19:6
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
Paulo alipowabandikia mikono, Roho Mtakatifu akawajia, akasema misemo migeni na kufumbua.
సరిపోల్చండి
Matendo ya Mitume 19:6 ని అన్వేషించండి
2
Matendo ya Mitume 19:11-12
Mungu akaifanyisha mikono ya Paulo matendo ya nguvu yasiyokuwapo hata kale. Kwa hiyo watu waliitwa hata miharuma na mishipi ya mwilini pake, wakawapelekea wagonjwa; ndipo, magonjwa yao yalipowaacha nao pepo wabaya wakawatoka.
Matendo ya Mitume 19:11-12 ని అన్వేషించండి
3
Matendo ya Mitume 19:15
Lakini pepo mbaya akawajibu: Yesu ninamtambua, naye Paulo ninamjua. Lakini ninyi, m wa nani?
Matendo ya Mitume 19:15 ని అన్వేషించండి