Mufananidzo weYouVersion
Mucherechedzo Wekutsvaka

Mwanzo 34:25

Mwanzo 34:25 SCLDC10

Siku tatu baadaye, waliotahiriwa wakiwa bado wana maumivu makali, watoto wawili wa Yakobo, Simeoni na Lawi, kaka zake Dina, walizitwaa panga zao, wakauvamia mji ghafla na kuwaua wanaume wote.

Verenga chikamu Mwanzo 34