YouVersion
Pictograma căutare

Mwanzo 25:32-33

Mwanzo 25:32-33 SCLDC10

Esau akasema, “Sawa! Niko karibu kufa; haki yangu ya mzaliwa wa kwanza itanifaa nini?” Yakobo akamwambia, “Niapie kwanza.” Basi, Esau akamwapia na kumwuzia Yakobo haki yake ya mzaliwa wa kwanza.

Citește Mwanzo 25

Planuri de citire și Devoționale gratuite în legătură cu Mwanzo 25:32-33