YouVersion
Pictograma căutare

Mathayo 15:18-19

Mathayo 15:18-19 NEN

Lakini kitokacho kinywani hutoka moyoni, na hiki ndicho kimtiacho mtu unajisi. Kwa maana ndani ya moyo hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushahidi wa uongo na masingizio.

Planuri de citire și Devoționale gratuite în legătură cu Mathayo 15:18-19