YouVersion
Pictograma căutare

Malaki 3:11-12

Malaki 3:11-12 NEN

Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye, wala hataharibu mazao ya ardhi yenu, wala mzabibu wenu hautapukutisha matunda yake kabla ya wakati wake,” asema BWANA wa majeshi. “Ndipo mataifa yote yatawaita mliobarikiwa, kwa maana nchi yenu itakuwa ya kupendeza sana,” asema BWANA wa majeshi.

Planuri de citire și Devoționale gratuite în legătură cu Malaki 3:11-12