Kutoka 6:6
Kutoka 6:6 NEN
“Kwa hiyo, waambie Waisraeli: ‘Mimi ndimi BWANA, nami nitawatoa katika nira ya Wamisri. Nitawaweka huru mtoke kuwa watumwa wao, nami nitawakomboa kwa mkono ulionyooshwa pamoja na matendo makuu ya hukumu.
“Kwa hiyo, waambie Waisraeli: ‘Mimi ndimi BWANA, nami nitawatoa katika nira ya Wamisri. Nitawaweka huru mtoke kuwa watumwa wao, nami nitawakomboa kwa mkono ulionyooshwa pamoja na matendo makuu ya hukumu.