YouVersion
Pictograma căutare

Kutoka 33:16-17

Kutoka 33:16-17 NEN

Mtu yeyote atajuaje kuwa mimi pamoja na watu wako tumepata kibali mbele zako, usipoenda pamoja nasi? Ni nini kingine kitakachoweza kututofautisha mimi na watu wako miongoni mwa watu wengine wote walio katika uso wa dunia?” BWANA akamwambia Musa, “Nitakufanyia jambo lile uliloomba, kwa sababu ninapendezwa nawe, nami ninakujua kwa jina lako.”

Planuri de citire și Devoționale gratuite în legătură cu Kutoka 33:16-17