YouVersion
Pictograma căutare

Matendo 13:2-3

Matendo 13:2-3 NEN

Walipokuwa wakimwabudu Bwana na kufunga, Roho Mtakatifu akasema, “Nitengeeni Sauli na Barnaba kwa kazi niliyowaitia.” Ndipo baada ya kufunga na kuomba, wakawawekea mikono yao na wakawatuma waende zao.

Planuri de citire și Devoționale gratuite în legătură cu Matendo 13:2-3