1
Zaburi 78:7
Neno
NEN
Ndipo wangeweka tumaini lao kwa Mungu, nao hawangesahau matendo yake, bali wangezishika amri zake.
Compară
Explorează Zaburi 78:7
2
Zaburi 78:4
Hatutayaficha kwa watoto wao; tutakiambia kizazi kijacho matendo yastahiliyo sifa ya BWANA, uweza wake, na maajabu aliyoyafanya.
Explorează Zaburi 78:4
3
Zaburi 78:6
ili kizazi kijacho kizijue, pamoja na watoto ambao watazaliwa, nao pia wapate kuwaeleza watoto wao.
Explorează Zaburi 78:6