INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA TISAExemplo

YESU AMPONYA MWANAMKE ALIYEJIKUNYATA
"Basi Yesu alikuwa akifundisha katika sinagogi mojawapo siku ya Sabato.Wakati uo huo akaja mwanamke mmoja aliyekuwa na pepo mchafu, naye alikuwa amepinda mgongo kwa muda wa miaka kumi na minane, wala alikuwa hawezi kunyoka wima."
Yesu alipomwona, akamwita akamwambia, “Mwanamke, uwe huru, umepona ugonjwa wako.”
Yesu alipomwekea mikono yake, mara akasimama wima akaanza kumtukuza Mungu.
Lakini mkuu wa sinagogi, akakasirika kwa sababu Yesu alikuwa ameponya mtu siku ya Sabato. Kwa hiyo mkuu wa sinagogi akaendelea kuuambia ule umati wa watu,
“Kuna siku sita ambazo watu wanapaswa kufanya kazi, katika siku hizo, njoni mponywe, lakini si kuja kuponywa siku ya Sabato.”
Lakini Bwana akamjibu, “Enyi wanafiki! Je, kila mmoja wenu hamfungulii ng'ombe wake au punda wake kutoka zizini akampeleka kumnywesha maji siku ya Sabato?
Je, huyu mwanamke, ambaye ni binti wa Abrahamu, aliyeteswa na Shetani akiwa amemfunga kwa miaka yote hii kumi na minane, hakustahili kufunguliwa kutoka katika kifungo hicho siku ya Sabato?”
Aliposema haya, wapinzani wake wakaaibika, lakini watu wakafurahi kwa ajili ya mambo ya ajabu aliyoyafanya.
As Escrituras
Sobre este Plano

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Planos Relacionados

Não Vejo Mais Sentido No Que Faço

Entre Andorinhas e Pardais: Quem Permanece?

Deus de Milagres

Envelhecimento: Quando O Espelho Não Nos Reconhece, Mas Deus Ainda Nos Chama Pelo Nome

Suzana: A Serva Silenciosa

E Se Eu Estiver Errado? Vencendo o Orgulho Espiritual

Jesus Aquele que Curava; Ainda Cura HOJE!

Quando O Caminho Fecha: É Deus Ou O Inimigo?

O Chamado Do Ofício Profético: Sangue Nas Mãos
