INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA KUMIਨਮੂਨਾ

YESU AWABARIKI WATOTO WADOGO
15 Pia, watu walikuwa wakimletea Yesu watoto wachanga ili awaguse. Wanafunzi wake walipoona hivyo, wakawakemea.
16 Lakini Yesu akawaita wale watoto waje kwake, akasema,
“Waacheni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie, kwa maana Ufalme wa Mungu ni wa watu walio kama hawa watoto.
17 Amin, nawaambia, ye yote ambaye hataupokea Ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo, hatauingia kamwe.”
ਪਵਿੱਤਰ ਸ਼ਾਸਤਰ
About this Plan

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Related Plans

POWER UP: 5 Days of Inspiration for Connecting to God's Power

Forever Open: A Pilgrimage of the Heart

2 Chronicles | Chapter Summaries + Study Questions

Battling Addiction

GRACE Abounds for the Spouse

Journey Through Minor Prophets, Part 2

Journey Through Jeremiah & Lamentations

Overcoming Offense

1 Samuel | Chapter Summaries + Study Questions
