Injili Ulimwenguni - Sehemu 3ਨਮੂਨਾ

Yesu amponya mtu mwenye ukoma
Ikawa siku moja Yesu alipokuwa katika mji fulani, mtu mmoja mwenye ukoma mwili mzima akamjia.
Alipomwona Yesu, alianguka chini mpaka uso wake ukagusa ardhi na kumsihi akisema
"“Bwana, ukitaka waweza kunitakasa.”
"Yesu akanyosha mkono wake akamgusa yule mtu, akamwambia, “Nataka, takasika!”
"Naye mara ukoma ukapona. Yesu akamwagiza akisema, “Usimwambie mtu ye yote, bali nenda ukajionyeshe kwa kuhani na ukatoe dhabihu alizoagiza Mose ili kuwa ushuhuda kwao.”
Lakini habari zake Yesu zikazidi sana kuenea kotekote kuliko wakati mwingine wo wote, makutano makubwa ya watu yalikuwa yakikusanyika ili kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao.
Lakini mara kwa mara Yesu alijitenga nao ili kwenda mahali pa faragha kuomba
ਪਵਿੱਤਰ ਸ਼ਾਸਤਰ
About this Plan

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana.
More
Related Plans

Truth to All Generations by Vance K. Jackson

Alive and on Fire - a Video Devo With Illusionist, Dustin Tavella

Center of It All

Find Your Way

Titus: Do What God Says

Getting to Know the Holy Spirit

A Kid's Guide To: Learning to Be Brave Through Followers of Jesus

Acts Reading Plan

Bible for Children
