Somabiblia Kila Siku 3ਨਮੂਨਾ

Bwana, kama ungalikuwapo hapa, ndugu yangu hangalikufa (m.21 na 32). Kwa macho ya kibinadamu Bwana Yesu alichelewa. Lakini Yesu alijua yote tokea mbali (m.11-15). Na ilikuwa ni hatari kwa Yesu kwenda Bethania (m.7-8 na 16). Lakini upendo wake kwa wafiwa ulimsukuma aende (m.3 na 5)! Martha alipoonyesha imani yake juu ya ufufuo siku ya mwisho (m. 23f), Yesu alimfundisha akisema: Mimi ndimi huo ufufuo na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi(m.25f)! Je, unasadiki hayo?
ਪਵਿੱਤਰ ਸ਼ਾਸਤਰ
About this Plan

SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.
More
Related Plans

Here Am I: Send Me!

Jesus' Invitations

The Bible's Weirdest Miracle (And Why It Changes Everything)

What a Man Looks Like

Dim Sum and Faith

To Serve & Protect

I'm Just a Guy: Who Feels Lonely

Horizon Church August + September Bible Reading Plan - the Gospel in Motion: Luke & Acts

Live Like Devotional Series for Young People: Daniel
