Hadithi ya Pasaka: Kuchunguza Kifo na Ufufuo wa Yesu

16 dagen
Kusulubishwa na kufufuka kwa Yesu kumeelezwa katika injili zote nne. Likizo hii ya Pasaka, soma kuhusu jinsi Yesu alivyovumilia usaliti, mateso na kudhalilishwa msalabani kabla ya kubadilisha dunia kupitia tumaini lililotolewa kwa ufufuo wake. Video fupi yaeleza kila upande wa hadithi kwa kila siku ya mpango huu.
Tungependa kuwashukuru GNPI Kenya kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.gnpi.org/tgg
Gerelateerde leesplannen

De reis van Simon Peter, Deel 4: 'Van rivaliteit naar roeping'

Tijd voor vakantie!

Wat betekent ‘geloof, hoop en liefde’?

De reis van Matthew, Deel 4: ‘De gaven die jij hebt’

Open Doors | Strijdvaardig als Elia door Anne van der Bijl | Deel 2

Geloof; Wat houdt dat in?

De reis van Simon Peter, deel 1: 'Genade in mislukking'

Laat Er Licht Zijn (Tienerleiders)

Rouwen onder een open hemel
