Mwanzo 28:13

Mwanzo 28:13 SCLDC10

Mwenyezi-Mungu alisimama juu ya ngazi hiyo, akamwambia, “Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Abrahamu baba yako, na Mungu wa Isaka. Nchi unayoilalia nitakupa wewe na wazawa wako.

Video voor Mwanzo 28:13

Gratis leesplannen en overdenkingen die te maken hebben met Mwanzo 28:13