YouVersion logo
BijbelLeesplannenVideo's
Download de app
Taalkiezer
Zoek icoon

Populaire Bijbelverzen uit Mwanzo 8

1

Mwanzo 8:21-22

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Harufu nzuri ya tambiko hiyo ikampendeza Mwenyezi-Mungu, naye akasema moyoni mwake, “Kamwe sitailaani tena nchi kwa sababu ya binadamu; najua kwamba mawazo yake ni maovu tangu utoto wake. Wala sitaangamiza tena viumbe wote kama nilivyofanya. Kadiri itakavyodumu nchi majira ya kupanda na kuvuna, ya baridi na joto, ya masika na kiangazi, usiku na mchana, hayatakoma.”

Vergelijk

Ontdek Mwanzo 8:21-22

2

Mwanzo 8:20

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Noa akamjengea Mwenyezi-Mungu madhabahu, akatwaa mmoja katika kila aina ya wanyama walio safi na ndege walio safi, akamtolea Mungu sadaka za kuteketezwa.

Vergelijk

Ontdek Mwanzo 8:20

3

Mwanzo 8:1

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Kisha Mungu akamkumbuka Noa na wanyama wote wa porini na wa kufugwa waliokuwa pamoja naye ndani ya safina. Basi, Mungu akavumisha upepo juu ya nchi, maji yakaanza kupungua.

Vergelijk

Ontdek Mwanzo 8:1

4

Mwanzo 8:11

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Njiwa huyo akamrudia Noa saa za jioni akiwa na tawi bichi la mzeituni mdomoni mwake. Kwa hiyo Noa akajua kwamba maji yalikuwa yamepungua katika nchi.

Vergelijk

Ontdek Mwanzo 8:11

Gratis leesplannen en overdenkingen die te maken hebben met Mwanzo 8

Vorig hoofdstuk
Volgend hoofdstuk
YouVersion

Moedigt jou aan en daagt je uit om elke dag gemeenschap met God te zoeken.

Bediening

Over

Carrières

Vrijwilliger

Blog

Pers

Nuttige links

Help

Bijdragen

Bijbelvertalingen

Luisterbijbels

Bijbeltalen

Tekst van de Dag


Een digitale bediening van

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

PrivacybeleidVoorwaarden
Programma voor openbaarmaking van kwetsbaarheden
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

Thuisscherm

Bijbel

Leesplannen

Video's